IEBC Wapata Ruto Alikuwa Ameongezewa Kura 10K Kiambu Kimakosa



Tume huru ya mipaka na uchaguzi nchini IEBC imetangaza kuondolewa kwa kura 10, 000 kutoka hesabu ya naibu rais.

Chebukati
Mwenyekiti wa IEBC Wafula Chebukati amesema kuna kura 10, 000 DP Ruto alipata kimakosa Kiambu.
Kwa mujibu wa ripoti ya IEBC, Ruto alikuwa ameorodheshwa kupata kura 51050 katika eneo bunge la Kiambu katika Fomu 34B badala ya 41050.

Ni kosa mabalo lilitambuliwa wakati wa kujumuishwa kwa kura na likarekebsishwa mara moja.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad