Sifa ya Private Jet ya Diamond Platnumz (Video)

 


Baada ya msanii ghali zaidi nchini Tanzania @diamondplatnumz kutangaza kukununua ndege, tumezungumza na @viiiaviation ambao wamemsaidia msanii huyo kufanya manunuzi yz ndege hiyo kwa kuwa wana uzoefu mkubwa.

Bwana Yusuph Kazi ambaye ni CEO wa kampuni hiyo amedai ndege ya Diamond ni kubwa na ina uwezo wa kusafiri masafa marefu bila kupumzika.

Pia amedai ndege hiyo pia unaweza kutumika katika dharura za matibabu kwa kuwa zina mfumo huo.

VIDEO:


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad