Kwasasa dawa za kuzuia virusi vya Ukimwi kabla ya kujamiiana zinapatikana


Kwasasa dawa za kuzuia virusi vya Ukimwi kabla ya kujamiiana zinapatikana 

Mwenyekiti wa Bodi ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), Dkt. Hedwiga Swai amesema kwa sasa kuna dawa za UKIMWI ambazo mtu anaweza kutumia kabla ya kufanya tendo la ndoa ili kumkinga na maambukizi.

Ameongeza pia kuwa watu wanaweza kufika TACAIDS kupata dawa za kuzuia maambukizi ya UKIMWI endapo mtu amepata majeraha yoyote yanayoweza kusababisha maambukizi hayo.  
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad