Mwanachuo Ajikata Tumbo Baada ya Kumuua Mwanafunzi Mwenzake


Mwanafunzi wa Chuo cha St John, Winfrida Michael (24) amefariki dunia baada ya kuchomwa kisu na mpenzi wake Julius Gervas (26) ambaye pia ni mwanafunzi wa chuo hicho sababu ikitajwa kuwa wivu wa mapenzi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Martin Otieno amesema tukio hilo limetokea Septemba 7,2022 baada ya Julius kufanya mauaji hayo alijaribu kujiua kwa kujikata tumbo na sasa anapatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa Mkoa wa Dodoma.

Ofisa muuguzi wa hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma, Ester Ngoloki amesema walimpokea Julius akiwa na jeraha la kuchomwa na kitu chenye ncha kali tumbon

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad