Sele Bonge Adakwa Kwa Tuhuma za Kuvamia Nyuma na Kuiba Dar es Salaam

 


Kaimu Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam William Mkonda,a kionesha baaadhi ya vifaa walivyovikamata


Jeshi la Polisi Kanda maalumu ya Dar es Salaam limemkamata Selemani Kalembo (57) maarufu kama Sele Bonge mkazi wa Vingunguti na wenzake 9 kwa tuhuma za kuvamia nyumba na kuiba vitu mbalimbali katika eneo la Kinyerezi, Kibaga mkoani Dar es Salaam ambapo walikamatwa wakiwa na gari aina ya Noah yenye namba T 218 BYS na vifaa mbalimbali vya kuvunjia nyumba, televisheni 4, kamba na mfuko wa kufichia TV baada ya kuiba.

.


Hata hivyo, Jeshi hilo limebainisha kuwa mahojiano ya kina yanaendelea ili kuwakamata wote wanaoshirikiana nao.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad