Waingereza Wapata Mrithi Mpya wa Waziri Mkuu Boris Johnson


Liz Truss amechaguliwa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Uingereza, akichukua nafasi ya Boris Johnson, aliyejiuzulu Julai mwaka huu.

Liz Truss ametangazwa rasmi hii leo Septemba 5, 2022, kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza kupitia chama cha Conservative, baada ya kupata kura 81,326 dhidi ya mpinzani wake wa karibu Rishi Sunak aliyepata kura 60,399. 

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad