Baba Levo "Kina Mwijaku Wamefukuzwa Uchawa Konde Gang"


Kwa mujibu wa @officialbabalevo ameweka wazi kwamba Mwijaku amefukuzwa kazi ya usemaji aka Uchawa aliyokuwa anaifanya hapo awali ambapo kwa sasa anamshauri amng'ang'anie Diamond ili aishi vizuri mjini

Kina Mwijaku wamefukuzwa hawatakiwi tena ilikuwa kauli ya #Babalevo

Hata hivyo Katika Wimbo Mpya wa Harmonize ametaja wakina Mwijaku na Kusema hawahitaji, huenda hiyo Ndio Sababu Baba Levo Anaamini Kuwa Wamefukuzwa Kweli

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad