Profesa Kabudi "Shiling Trilioni 360 za Makinikia Zilikuwa Kanyaboya"



Mpatanishi Mkuu wa Serikali, Profesa Palamagamba Kabudi, amesema Dola Bilioni 190 zilizotakiwa kulipwa na Kampuni ya Acacia Julai 2017 kama kodi, Malimbikizo na faini ya ukwepaji kodi zilikuwa hazilipiki


Amesema "Ile haikuwa kodi halali, ilikuwa ni kodi inayobishaniwa, na siyo siri, hiyo kodi utaitoa wapi? Inazidi GDP za nchi zote. Namtafuta Mwigulu (Waziri wa Fedha) nimwambie


Ameongeza “Unajua hizo trilioni zilipigwa baada ya wao kupeleka Mashtaka ICSD (Kituo cha Kimataifa cha Kusuluhisha Migogoro) kudai karibu Dola Bilioni 2, vitu vingine huwezi kuvieleza kwasababu ni mbinu za upatanishi."

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad