Taarifa zinaeleza kwamba Mbugua (56) amefariki dunia leo Alhamis kufuatia kusumbuliwa na maradhi ya Figo ambapo alilazwa hospitali tangu Julai 18 na aliruhusiwa August 3, 2022.
Aliyekuwa Mwendesha Mashtaka Kwenye Kipindi cha Vioja Mahakamani Afariki Dunia
0
December 22, 2022
Tags