Web

Shamsa Ford Alikumbuka Penzi la Nay wa Mitego "Nashukuru Toka Tuachane Unaniongelea Vizuri Kwa Watu"


Nakushukuru kwa kitu kimoja tu.Unaniongelea vizuri sana kwa watu tofauti na MAEX wengine.Tangu tumeachana sijawahi kusikia ukinizungumzia vibaya.Huwa napata ujumbe wako kutoka kwa watu tofauti unavyoniongelea vizuri.Kupitia ww vijana wanatakiwa kujua kuwa kuachana si VITA na wala hutakiwi kumuongelea vibaya mwenzio ..COUSIN
@naytrueboytz I SALUTE U🙌🏻🙌🏻

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad