Shomadjozi Afunguka Kuteswa na Mapenzi "Nimeachwa Nimelia Sana"


Kwenye #XXLyaCloudsFM @shomadjozi amefunguka kwamba 2022 ni mwaka ambao umesafiri na hisia zake kimapenzi! Akieleza kwenye maisha yake yote alikuwa hajawahi ku-experience KUACHWA katika mahusiano lakini kwa mara ya kwanza mwaka huu amelipitia hilo kutoka kwa mchizi ambaye alikuwa naye kwenye serious relationship.

@shomadjozi anakiri kulia sana mwaka huu kutokana na wakati mgumu aliopitia baada ya kuachwa, kuna time ilifikia hatua ya kutaka kuharibu kazi lakini alikaza na limepita hivyo! 🙌🏽

Vipi kwa upande wako!? 2022 imekufanyia nini!?

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad