IGP Afanya Mabadiliko Kamanda Wa Polisi Mkoa Wa Morogoro, Songwe Na Rukwa

 


IGP Camillus Wambura amemhamisha aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Fortunatus Muslim kwenda kitengo cha miopango makao makuu na nafasi yake imechukuliwa na ACP Alex Mukama ambaye alikuwa RPC Songwe.


Taarifa hiyo imetolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi SACP David Misime, na kwamba IGP pia amemhamisha aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Rukwa ACP Theopista Mallya, kwenda kuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe


IGP Wambura pia amemhamisha ACP Shedrack Masija ambaye alikuwa Afisa Mnadhimu Namba Moja mkoa wa Simiyu, kwenda kuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Rukwa

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad