Mataifa Yaliyokuwa ya Kwanza Duniani Kuona Mwaka Mpya wa 2023



Huku mataifa ya Afrika mashariki sehemu nyingine za ulimwengu zikiwa zimesalia na saa kadhaa kabla ya kukaribisha Mwaka Mpya wa 2023, tayari mataifa mengine ulimwenguni yalikuwa tayari yameingia kwenye mwaka mpya.


Taifa la kisiwa cha Pasifiki la Kiribati lilikuwa la kwanza kukaribisha mwaka wa 2023 saa 10:00 GMT, na kufuatiwa na New Zealand mwendo wa saa 11:00 GMT.

Saa 13:00 GMT kulikuwa na onyesho la kuvutia juu ya Bandari ya Sydney nchini Australia mashariki ilipokaribisha mwaka mpya wa 2023.


Visiwa vidogo vya nje vya Marekani vilikuwa vya mwisho kuona 2023.


Baker Island na Howland Island, ambazo hazina watu, ziliingia 2023 siku ya Jumapili saa 12:00 GMT.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad