Mke wa Dr. Mwaka aeleza kukamatwa na Polisi akiambiwa mwizi





Siku ya leo Mke wa Dr. Mwaka ameenda Bakwata kutaka Talaka yake, akiongea na wana habari ameeleza kuwa ameachana na Dr.Mwaka tangu mwezi wa kwanza 2022.

Ameeleza mengi sana na baada ya kufika Bakwata amekuwa akizungushwa kupewa Talaka yake licha ya kuwa sheria za dini zinaruhusu na kuna utaratibu wake.

Ameongeza kuwa waliamua kuachana baada ya kutoridhishwa na baadhi ya mambo ambayo yalikuwa yanaendelea kwenye ndoa yake.

“Mimi nilikuwa naishi Afrika Kusini na watoto wote, aliniachia mpaka watoto wa wake zake wengine lakini niliomba awachukue baada ya hapo aliacha kutunza watoto wake nimejaribu kufuatilia jambo limekuwa zito, naomba mamlaka zinisaidie”

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad