Promota wawapangia bei wasanii wa Uganda

 


Kutoka 256 Uganda Chama Cha Mapromota nchini humo (National Promoters Association) wametangaza pesa watakazowalipa wasanii wao kwenye shows mwaka 2023.


Barua ya Chama hicho inaeleza kuwa wamefanya utafiti na wameona umuhimu wa kuweka bei za wasanii wao ili kuendelea kufanya biashara na asiyefurahia malipo ya pesa walizowawekea wamewaruhusu kuandaa shows zao wenyewe.


Katika list hiyo wapo wasanii wenye makubwa kama Bebe Wine, Jose Chameleon, Eddy Kenzo na Spice Diana. 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad