Kitwanga Atoa ya Moyoni "Inanichekesha Kivuko CHETU Kupelekwa Kenya Kutengenezwa"

 


Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga amehoji “Sijali kama kivuko chetu (MV Magogoni) kilinunuliwa kwa Tsh. Bilioni 8 na kinaenda kutengenezwa kwa Tsh. Bilioni 7.5 lakini tunashindwaje kukitengeneza sisi Watanzania hadi kupeleka #Kenya?”

Ameongeza “Tuangalie nani yupo nyuma ya huo mpango, inanipa usumbufu wa mawazo. Sikubaliani na uamuzi walioufanya, niwaambieni hata mkitaka kuiba ibeni kisha muwekeze #Tanzania ili Wazawa wapate kazi na siyo kuiba kisha mnapeleka fedha nje ya Nchi.”

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad