Baa inauzwa: Mingoi Mapinga




Baa ipo umbali wa km 2 kutoka barabara kuu.
Ipo mtaa mzuri kibiashara.
Ina majiko 2, kaunta, stoo, vyoo, chumba cha wafanyakazi na ukumbi wa kukaa wateja.

Maji na umeme upo.
Bei sh 63m 
Maongezi yapo.
Piga 0758 603077


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad