Jumanne Muliro Apandishwa Cheo na Rais Samia






Kupitia mitandao ya kijamii ya Jeshi la Polisi Tanzania wamepost kuwa:

”Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Camillus M.Wambura anapenda kuwajulisha kuwa Mh.Dkt Samia Suluhu Hassan ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, amempandisha cheo Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Muliro Jumanne Muliro kuwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP).
Amepandishwa cheo hicho kuanzia tarehe 20 Februari 2023.”


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad