Majizzo Awaondoa Masanja Mkandamizaji na Lilian Mwasha Wasafi FM


Mkurugenzi wa kituo cha EFM @majizzo amezindua kipindi kipya cha dini kupitia TVE ambacho kitakuwa kinaendeshwa na @mkandamizaji @lillianmwasha_ na @hananja.r

@majizzo ameeleza kuwa Watangazaji hao @mkandamizaji @lillianmwasha_ wamehamia TVE

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad