Web

Kimenuka..Sheikh Majini Amtaka Diamond Platnumz Kuondoka Katika Dini ya Uislam Kisa Bibilia"


“Kama Uislamu Umekushinda Ondoka nenda kwenye Dini inayokufaa tuachie Waislam Dini yetu, Hii ni Dini ya Mwenyezi Mungu” – Sheikh Shareef Majini amefunguka kwenda kwa Diamond Platnumz

Hii ni Baada ya Diamond Kuonekana akiombewa na Mchungaji Fulani & Kusoma Biblia Kitabu cha Mathayo 28:6 katika uzinduzi wa Album ya Christiana Shusho usiku wa Tarehe 08 April 2023

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad