Madaktari 3 Wafungwa JELA kwa Makosa ya Kuua, Kutoa Mimba na Kubaka



Mahakama Nchini #GuineaBissau imetoa adhabu hiyo baada ya kubaini kuwa Madaktari walihusika na matendo hayo dhidi ya M'Mah Sylla, aliyebakwa akiwa Hospitali na kuhamishiwa kutibiwa Nchini Tunisia Mwaka 2021

Waliohukumiwa ni Daniel na Patrice Lamah ambao wamepewa kifungo cha Miaka 15 jela na Daktari wa 3 ni, Celestin Millimouna ambaye alikimbia Nchi baada ya tukio hilo amehukumiwa kifungo cha Miaka 20 jela

Kwa mujibu Mashtaka, wote walipatikana na hatia ya kushambulia, kupiga risasi pamoja na kutoa Mimba huku Patrice Lamah na Millimouna wakikutwa pia na hatia ya Ubakaji.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad