Ni Simba Dhidi ya Waydad Katika Robo Fainali CAF




Simba inatarajia kuanzia nyumbani katika mchezo wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kuivaa #Wydad ya #Morocco

Mechi nyingine za hatua hiyo CR Belouizdad (Algeria) dhidi ya Mamelodi Sundowns (Afrika Kusini), Al Ahly (Misri) na Raja Casablanca (Morocco), JS Kabylie (Algeria) na Espérance de Tunis (Tunisia)

Michezo ya kwanza inatarajiwa kuchezwa Aprili 21 na 22, 2023 kisha marudio ni wiki moja baadaye (Aprili 28 na 29, 2023)
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad