Polisi Yawataja Matajiri Kuhusika na Ufukuaji Makaburi wizi Viongo vya Maiti




Jeshi la Polisi Mkoani Singida limesema uchunguzi wao umebaini baadhi ya matajiri wanahusika katika kuwezesha na kufadhili Mauaji ya Watu, Wizi wa Mali kwa kuwalipa wanaofukua makaburi yaliyopo Wilaya ya Manyoni

Kamanda wa Polisi Mkoa, Stella Mutabihirwa, amesema tayari watuhumiwa 13 wamekamatwa na uchunguzi umeonesha wanatumwa na baadhi ya matajiri wanaotaka kulinda utajiri wao au kupata utajiri kwa imani za Kishirikina

Jeshi la Polisi limefanya mahojiano na watuhumiwa ambao wamekiri kutumwa na baadhi ya Matajiri kwa maagizo ya Waganga wa Kienyeji ambao huwaagiza kupeleka viungo vya Watu na viambata vya Maiti, ambavyo hupatikana kwa kufukua makaburi.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad