Dr. Cheni Atoa Mpya : Kuna Watu Kwenye Kazi Yangu ya MC Wananiroga

Dr. Cheni Atoa Mpya : Kuna Watu Kwenye Kazi Yangu ya MC Wananiroga



Msanii maarufu wa Bongo Movies na Mshereheshaji maarufu, Dr. Cheni amedai kuwa kwenye tasnia yake ya ushereheshaji wapo baadhi ya watu ambao wanamroga ili kuua kipaji chake.

"Kwenye kazi yangu ya u MC nahisi kuna watu wananiroga, na kuna ma MC wenzangu wawili ambao nawahisi wanataka kuniharibia siku nikijihakikishia nitawaanika hadharani, haiwezekani naenda kwenye sherehe nikishika maiki hailii ila akija mtu mwingine akiishika inalia siyo uchawi huo?

"Kuna siku nimeenda kwenye sherehe na gari yangu ile kufika nikakuta ukumbi ni tofauti, vyombo ni tofauti yaani kwamba nimeshahau ukumbi wangu nimeenda kwenye shughuli ya mtu mwingine," Dr. Cheni.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad