Mayele Hauzwi, Yanga Yaweka Masharti Maguma


UONGOZI wa Yanga umetamka kuwa mshambuliaji wao Mkongomani Fiston Mayele hayupo sokoni lakini wapo tayari kukaa meza moja kwa klabu zinazomuhitaji kwa ajili ya mazungumzo.

Aliongeza kuwa kabla ya kuanza mazungumzo hayo ya Mayele na hizo klabu, kikubwa wafahamu kuwa dau la Mayele hivi sasa linafikia zaidi ya Sh 5Bil ambazo zitawashawishi wao wamuachie mshambuliaji huyo.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad