Mshahara wa Mchezaji Fei Toto Wawekwa Wazi na Rais wa Yanga...Inafikirisha



Rais wa Yanga Akihojiwa Clouds FM amefunguka haya:

"Mwaka 2020 FEISAL alikuwa analipwa mshahara wa Mil 1.5 na sisi tuliboresha hadi Mil 4 na ada ya usajili Mil 100 kwa miaka minne ambayo ilikuwa apewe kwa awamu 4 lakini aliomba tumlipe yote kwa ajili ya kukidhi mahitaji yake na sisi tulifanya hivyo"

- Maneno ya Injinia Hersi akizungumzia swala la Feisal Salum aliyeomba kuondoka klabuni kwa madai ya maslai madogo

𝙈𝙄𝙇𝙄𝙊𝙉𝙄 𝟰 𝙕𝙄𝙉𝘼𝙏𝙊𝙎𝙃𝘼 𝙆𝙐𝙈𝙇𝙄𝙋𝘼 𝙁𝙀𝙄𝙎𝘼𝙇 𝙎𝘼𝙇𝙐𝙈 ?

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad