Shafih Dauda "Uswahili Unachukua Nafasi Sana Simba, Kwanini Beno Achezi?"



Simba wamesajili lakini hawaamini baadhi ya Wachezaji wao , mwanzoni Moses Phiri hakuanza alivyopata nafasi akafunga magoli ya kutosha bahati mbaya akaumia, Dirisha dogo akaja Baleke na yeye hakupata nafasi alivyopata nafasi akafunga akajihakiikishia nafasi .


Ni fikra kwamba ukicheza vizuri lazima mchezo unaokuja ucheze wanatakiwa kucheza kwa mpango kazi , wakati mwingine uswahili hizi timu unachukua nafasi sana mfano Aish na Beno .

Mara nyingi Aish akipata matatizo Beno anacheza na hajawahi kuonekana ni Kipa wa akiba , huna sababu ya kulitetea benchi la ufundi la Simba una Makipa wawili wote ni wa timu ya Taifa.

Swali, Benchi la ufundi kwanini hawamchezeshi Beno ?

#DIGALA
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad