Simba, Yanga, Azam na Singida wote kucheza Ngao ya Jamii


Simba, Yanga, Azam na Singida wote kucheza Ngao ya Jamii


Kabla ya kuanza kwa msimu huu 2022/23 kulifanyika mabadiliko ya kanuni za ligi kuu ya NBC mojawapo ya mabadiliko ni kanuni ya (19:1) kuhusu mchezo wa Ngao ya jamii ambapo kwa sasa kutakuwa na shindano la Ngao ya Jamii na sio mchezo mmoja.

Kanuni ya 19.1 inasema kutakuwa na shindano la Ngao ya jamii, ambapo timu tatu (3) za juu kwenye ligi kuu ya NBC na Bingwa wa kombe la shirikisho (ASFC) zitacheza mchuano huo maalumu. Endapo Bingwa wa FA yumo kwenye timu (3) za juu, basi ataingia anayeshika nafasi ya (4) kwenye ligi kuu.

Kwa Sasa ilivyo ni wazi Yanga, Simba, Azam na Singida ndio zitakazocheza shindano maalumu kwa kuanza kwa michezo ya nusu fainali.


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad