USM ALGER watua tanzania




Wapinzani wa Yanga katika mchezo wa fainali kombe la Shirikisho barani Afrika USM Alger wamewasili nchini Alfajiri ya leo wakitokea kwao Algeria tayari kwa mchezo huo utakaopigwa Jumapili May 28 katika uwanja wa Benjamin Mkapa

Awali ilitarajiwa kuwa timu hiyo ingewasili nchini siku ya jana Alhamisi, saa 3 usiku

Hata hivyo walichelewa baada ya kupata changamoto ya usafiri iliyowalazimu kutua uwanja wa ndege Entebe Uganda kabla ya kuja Tanzania ikielezwa ndege yao iliishiwa mafuta

Msafara wa timu hiyo ulipokewa na Balozi wa Algeria nchini Tanzania

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad