Anita Brown Mwanamke Mwenye Ujauzito wa Davido Adai Davido Alimtoa Kafara Mtoto wake





Anita Brown Mwanamke Mwenye Ujauzito wa Davido Adai Davido Alimtoa Kafara Mtoto wake

Kutoka twitter ya Anita Brown, baby mama number 5 wa Davido, ametoa maelezo marefu kuhusu Davido na Chioma, anasema 'Davido sio Mtu Mwema, asingemuoa Chioma kama Mtoto wao Ifeanyi asingefariki, Davido alimtoa mhanga ifeanyi, ndivyo wanaigeria wengi wanavyofanya, mashabiki wa Davido ni watu wabaya kwa kuwa bado wanamsapoti na kumuita mfano wa kuigwa, sitakuwa kuwa karibu na hio familia"

Anita Brown Mwanamke Mwenye Ujauzito wa Davido Adai Davido Alimtoa Kafara Mtoto wake

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad