Eng. Hersi "Kuna Baadhi ya Waandishi Wanaisema Yanga ili Kupata Umaarufu"


"Kuna Mtindo umeingia kwa baadhi Ya Wachambuzi ambao wanaona ili kuweza kufikisha Ujumbe Wake inabidi utumie namna flani ya Kuwasilisha ( Kwa Kuponda) . Kwangu mimi hii naona ni kutafuta attention ili watu waone au wafuatilie unachozungumza . Kwa mfano kuna Mchambuzi Mmoja nimeona kaandika Medali bila Ubingwa ni sawa na Hirizi , Sasa Kweli unaweza Ukafananisha Medali Ya CAF na Hirizi ? "

- Maneno ya Injinia Hersi, Rais wa Yanga

𝙐𝙉𝘼𝘿𝙃𝘼𝙉𝙄 𝘼𝙏𝘼𝙆𝙐𝙒𝘼 𝙆𝘼𝙒𝘼𝙇𝙀𝙉𝙂𝘼 𝙒𝘼𝘾𝙃𝘼𝙈𝘽𝙐𝙕𝙄 𝙒𝘼𝙆𝙄𝙉𝘼 𝙉𝘼𝙉𝙄 ?

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad