Kocha na Nabi na Yanga Basi Tena...


Baada ya kudumu kwa miaka miwili kwenye ndoa na Yanga yenye mafanikio makubwa, rasmi sasa kocha Professor Nasreddine Nabi ameamua kutalakiana na mabingwa hao wa muda muda wote hapa Tanzania

Nabi anataka kuanzisha utawala wake sehemu nyengine kama alivyoipa mafanikio klabu ya Yanga

𝙔𝘼𝙉𝙂𝘼 𝙄𝙏𝘼𝙒𝙀𝙕𝘼𝙉𝘼 𝘽𝙄𝙇𝘼 𝙔𝘼 𝙉𝘼𝘽𝙄 ?

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad