Mayele na Yanga Ndio Basi Tena...Aamua Kuondoka


Baada ya kikao kizito hatimaye Mshambuliaji wa Yanga Sc, Fiston Mayele ameamua kuondoka klabuni humo mwishoni mwa msimu huu baada ya kudumu kwa muda wa miaka miwili

Mayele anataka kwenda kutafuta maisha sehemu nyengine, na hivi sasa anatathmini kuchagua klabu gani nyengine mpya ya kufanya nao kazi

Vilabu vya Uarabuni na Afrika Kusini vimeonyesha nia ya kumchukua Fiston Mayele


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad