Ronaldo Kumlipa Georgina Milioni 257 Kila Mwezi Endapo Wakiachana

 

Ronaldo Kumlipa Georgina Milioni 257 Kila Mwezi Endapo Wakiachana

Mitandao inaripoti kwamba Cristiano Ronaldo amesaini makubaliano ya kabla ya ndoa (pre-nup agreement) ambapo imeelezwa kwamba, kama ikitokea wakaachana, nyota huyo wa Ureno atakuwa akimlipa mpenzi wake Georgina Rodriguez kiasi cha (€100,000) zaidi ya TSh. Milioni 257 kila mwezi katika kipindi chote cha maisha yake.

Ronaldo na Georgina wana watoto wawili pamoja huku wakilea familia ya watoto watano ambao Ronaldo aliwapata nje.

Una maoni gani? Tuachie comment yako.


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad