Web

Simba Wamtema Vunja Bei Uzalishaji wa Jezi, Waingia Mkataba Mpya na Sandaland


Simba imeingia mkataba wa miaka miwili na Sandaland the Only One wa kuzalisha jezi wenye thamani ya Tsh. 2 bilioni kwa mwaka. Simba itavuna jumla ya Tsh. 4 bilioni katika kipindi cha miaka miwili ya mkataba huo.

Kuanzia msimu huu [2023|24] Sandaland the Only One anakuwa Mzalishaji Mkuu wa jezi na vifaa vingine vyote kwa chapa ya Simba.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad