TANZIA: Mfanyabiashara Mohamed Raza afariki Dunia


Mfanyabiashara maarufu wa Zanzibar na Mwanasiasa ambaye aliwahi kuwa Mwakilishi Jimbo la Uzini Mkoa wa Kusini Unguja, Mohamed Raza amefariki dunia leo wakati alipokuwa akipatiwa matibabu Hospitalini Jijini Dar es Salaam.

Taarifa za msiba huo zimethibitishwa na mmoja wa Wanafamilia aitwae Mohammed Ibrahim Raza ambapo maziko yatafanyika leo Kisutu Dar es salaam.

Itakumbukwa May 09,2023 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali alimtembelea Mohamed Raza baada ya kulazwa Hospitalini Jijini Dar es salaam.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad