Mandonga achezea kichapo cha Wanyonyi





 Aliyewahi kuwa mshindi wa Mkanda wa ABU, bondia wa Kenya, Daniel Wanyonyi amelipiza kisasi dhidi ya bondia wa Tanzania, Karim Mandonga kwa kumtwanga katika pambano lao lililofanyika siku ya jana katika Ukumbi wa Sarit Center jijini Nairobi, Kenya.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad