Mbappe awekewa mshahara wa Bilioni 1 kwa siku





 Winga wa Timu ya Taifa ya Ufaransa na Klabu ya PSG Kylian Mbappe amewekewa mshahara wa kufa mtu iwapo atajiunga Klabu ya Al Hilal.

Kylian Mbappé amewekewa mshahara wa €700m huko Al-Hilal kwa msimu 1, na mchanganuo wa mshahara wake utakuwa kama ifuatavyo;


Mwaka £600m = Tsh 1,882,249,020,000 (zaidi ya Trilioni 1)

Mwezi £50m = Tsh 156,851,395,500 (Zaidi ya Bilioni 150)

Siku £1.64m = Tsh 5,143,931,832 (zaidi ya Bilioni 5)

Saa £68.5k = Tsh 214,845,713 (Zaidiya Milioni 214)

Dakika £1.1k = Tsh 3,450,077 (Zaidi ya milioni 3)

Sekunde £19 = Tsh 59,592 (Zaidi ya Elfu 50)

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad