Mrembo Tracy Nabukera atwaa taji la Miss Tanzania 2023



Mrembo Tracy Nabukera atwaa taji la Miss Tanzania 2023 usiku wa kuamkia leo

2021 alikuwa mshindi wa tuzo ya mwanamitindo bora chipukizi wa Swahili Fashion Week, 2023 akatwaa taji la Miss Vyuo vya elimu ya juu na hatimaye kunyakua taji Miss Tanzania

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad