Rais Samia atengua Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya za Temeke na Kilindi

 

Rais Samia atengua Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya za Temeke na Kilindi
Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 02 Julai, 2023 amefanya mabadiliko madogo ya Wakuu wa Wilaya kama ifuatavyo:


1) Ametengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Mwanahamisi Athumani Munkunda na kumteua Mobhare Holmes Matinyi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke.


2) Ametengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Kilindi, Abel Yeji Busalama. Amemhamisha kituo Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mjini, Hashim Shaib Mgandilwa kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilindi.


3) Amemteua James Wilbert Kaji kuwa Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mjini.

Rais Samia atengua Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya za Temeke na Kilindi


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad