Rais Samia Aunda Wizara, Amteua Mwigulu Nchemba

Rais Samia aunda wizara, amteua Mwigulu Nchemba


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameunda Wizara ya Fedha ambapo amemteua Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Fedha. Kabla ya uteuzi huo alikuwa ni Waziri wa Fedha na Mipango.


Uteuzi huu unakuja baada ya kutungwa kwa Sheria ya Mipango ya Taifa ya Mwaka 2023 pamoja na uamuzi wa kuhamishia masuala ya uwekezaji Ofisi ya Rais, hivyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Miundo ya Wizara na kufanya uteuzi wa viongozi

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad