Web

Simba Yamuuza Mchezaji Pape Sakho Ufaransa

Top Post Ad


Club ya Simba imetangaza rasmi kuwa imemuuza Kiungo wao Mshambuliaji Pape Sakho Raia wa Senegal kwenda katika Club ya Quevill Rouen ya Ligue 2 nchini Ufaransa.

Sakho anaenda Ufaransa kucheza Ligi namba mbili kwa Ubora nchini humo baada ya Ligue 1 ambayo wanacheza wachezaji kama Kylian Mbappe, Neymar na Sanchez.

Msimu uliopita wa 2022/2023 Quevilly Rouen walimaliza nafasi ya 11 katika timu 20 zinazoshiriki kuwania kucheza Ligue 1, hivyo Sakho ana mtihani pia wa kuisaidia timu hiyo kupanda daraja ujao.

Below Post Ad

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.