Yanga Kimya Kimya Kwa George Mpole, Maongezi ya SIRI Yanaendelea

 

Yanga Kimya Kimya Kwa George Mpole, Maongezi ya SIRI Yanaendelea

Klabu ya Yanga Sc imetambulisha wachezaji wapya watano hadi sasa ambapo watatu ni wa kigeni na wawili wazawa, lakini Kuna taarifa kuwa iko mbioni kushusha Mfungaji bora wa Ligi Kuu kwa msimu wa 2021/2022, George Mpole (30), anayekipiga ES Lupopo ya DR Congo kwa sasa.


Yanga imeonyesha nia ya kumtaka Mpole kwa mara ya pili na duru hii ni baada ya ligi ya DR Congo kusimama kwasababu ya machafuko yanayoendelea nchini humo hivyo wachezaji akiwemo Mpole kupewa nafasi ya kutafuta timu nyingine ili kulinda viwango vyao.


Mazungumzo baina ya Yanga na Mpole yanaendelea na kama watakubaliana kila kitu basi staa huyo wa Taifa Stars atakuwa Mwananchi.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad