Aliyeshiriki Kuchanganya Udongo wa Tanganyika, Zanzibar Afariki

 

Aliyeshiriki Kuchanganya Udongo wa Tanganyika, Zanzibar Afariki

Zanzibar. Khadija Abbas Rashid (74) miongoni mwa walioshiriki kuchanganya udongo wa iliyokuwa Tanganyika na Zanzibar amefariki dunia jana Jumanne Agosti 23, 2023 nyumbani kwake Rahaleo Mkoa wa Mjini Magharibi.


Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano ambapo wametoa taarifa hiyo katika mitandao yao mbalimbali ya kijamii.


Marehemu alihusika katika tukio hilo la mfano la kuchanganya mchanga Aprili 26, 1964.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad