Diamond ampigia salute Alikiba "Show yake Simba Day ilikuwa Nzuri"

Diamond vs Ali Kiba


Msanii Wa Bongo Fleva Naseeb Abdul. ‘Diamond’ amesifia wimbo wa msanii mwenzake AlliKiba wimbo wa ‘Mnyama’ mzuri.


Diamond amesema”Wimbo wa Alli wa Mnyama ni mzuri nimeupenda na kaimba vizuri angeingia trendi nilijiandaa kusema kwasababu kanitaja ndomana.”


Pia amempongeza kwa show aliyoifanya Ali Kiba siku ya Simba Day amesema ilikuwa mzuri anamsifu kwa hilo.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad