Lori la Mafuta Lalipuka Baada ya Kupata Ajali Ubungo


Lori la Mafuta Lalipuka Baada ya Kupata Ajali Ubungo

Lori linalosafirisha Mafuta limepinduka na kusababisha Moto mkubwa katika maeneo ya Ubungo jirani na Kituo cha Mabasi Yaendayo Kasi cha Kibo jijini Dar es Salaam

Jeshi la Zimamoto limefika eneo la tukio lakini kutokana na ukubwa wa Moto unaowaka eneo hilo, kazi ya uzimaji imekuwa na changamoto

Hadi sasa bado haijafahamika madhara kamili yaliyopatikana kutokana na Ajali hiyo ingawa taarifa za awali zinaeleza baadhi ya Nyumba za jirani na Pikipiki 2 zimeteketea kwa Moto huo.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad