Tory Lanez Ahukumiwa Miaka 10 Jela Kwa Kumpiga Risasi The Stallion



Nyota huyo wa Hip Hop na R&B mwenye asili ya Canada amehukumiwa kifungo baada ya kupatikana na hatia ya makosa 3 ikiwemo kumpiga Risasi Rapa wa Kike #MeganTheeStallion Julai 2020, huko #HollywoodHills

Licha ya #ToryLanez kukana Mashtaka yote (Kushambulia kwa Kutumia Bunduki, Kubeba Bunduki Isiyo na Usajili na Kutumia Bunduki kwa Uzembe), Mahakama ilimtia hatiani kwa makosa yote 3

Megan Thee Stallion alimshutumu Lanez kwa kumshambulia kwa Risasi Mguuni baada ya kutoka nje ya gari walilokuwa wamepanda baada ya kutokea Mabishano kati yao

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad