Unaambiwa Simba Day ya Mwaka Huu Haijawahi Kutokea

Unaambiwa Simba Day ya Mwaka Huu Haijawahi Kutokea


Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi klabu ya Simba Salim Abdallah 'Try Again' amesema Wanachama na Mashabiki wa timu hiyo wajiandae kwa Tamasha kubwa la Simba Day ambalo halijapata kutokea

Simba ikiwa tayari imeuza tiketi zote siku tatu kabla ya Tamasha lenyewe, Try Again amesema tamasha hilo ni sherehe ya Wanasimba kufurahi pamoja na timu yao wakiukaribisha msimu mpya

Try Again amesema Wanasimba wanakwenda kushuhudia timu yao bora ambayo msimu huu imeweka malengo makubwa ya kushinda mataji

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad