Eng. Hersi Awanunulia Tiketi Mashabiki Wote wa Yanga Waliokwenda Kigali

 

Eng. Hersi Awanunulia Tiketi Mashabiki Wote wa Yanga Waliokwenda Kigali

Rais wa Klabu ya Yanga, Eng. Hersi Said amewanunulia tiketi mashabiki waliojitokeza kwenye safari ya Rwanda ambayo inawakutanisha dhidi ya Al Merrikh hapo kesho Septemba 16, 2023 mchezo utakaochezwa majira ya saa 10.


Eng. Hersi ametoa tamko zito kwa wachezaji watakaocheza kwenye mchezo huo huku akiweka mkazo kwenye kujituma na kupambania furaha za mashabiki endapo watashindwa kufanya ivyo dirisha lijalo hatosita kumuondoa mchezaji.


Zaidi ya mashabiki 1,000 wamesafiri pamoja na timu yao ya Yanga kutoka Tanzania mpaka Kigali Rwanda kwa ajili ya mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa Afrika.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad