KRC Genk ya Ubelgiji Bado Wanakumbuka Maajabu Haya ya Mbwana Samatta, Jezi yake Yapewa Heshima

 

KRC Genk ya Ubelgiji Bado Wanakumbuka Maajabu Haya ya Mbwana Samatta, Jezi yake Yapewa Heshima

KRC Genk ya Ubelgiji Bado Wanakumbuka Maajabu Haya ya Mbwana Samatta, Jezi yake Yapewa Heshima

Nahodha wa timu ya Taifa Tanzania ‘Taifa Stars’ Mbwana Samatta ameendelea kuenziwa na klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji kwa jezi yake maalum kuuzwa katika maduka ya timu hiyo.

Samatta ambaye ni Legend wa timu hiyo amewekwa katika kundi la wachezaji watano wa kikosi hicho waliowahi kupita na kufanya mambo makubwa.

Katika duka la kuuzia vifaa vya michezo la timu hiyo kuna jezi maalum iliyotengenezwa na kuuzwa katika duka hilo, moja ya jezi inayouzwa ni pamoja na jezi ya Samatta yenye picha yake akiwa anafunga kwa kichwa katika mechi ya Genk na Liverpool.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad